• Seynation Updates

    Thursday 14 January 2016

    ARSENAL SOKONI KUMNUNUA KIUNGO WA FC Basel

    Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kwamba klabu hiyo imemnunua kiungo wa kati wa FC Basel Mohamed Elneny.
    Elneny

    Mchezaji huyo anaweza kuwachezea dhidi ya Stoke Jumapili.
    Elneny, 23, anaripotiwa kuwagharimu Gunners £5m na anahitimu kuwachezea katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.


    Akizungumza baada ya Arsenal kutoka sare ya 3-3 na Liverpool uwanjani Anfield, Wenger alisema: "Amejiunga nasi na tutamchunguza kuona iwapo anatosha kucheza Jumapili.”
    Image copyrightReuters
    Elneny alichezea Basel mechi ambayo walilaza Chelsea msimu wa 2013-14.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI