Akizungumza na Championi Jumatatu, Bawaziri alisema ameamua kufanya hivyo baada ya kuona mambo ndani ya kuona mambo ndani ya timu hiyo yanakwenda vizuri na timu ipo chini ya uongozi makini kwa sasa kuliko hapo awali.
Kikosi cha Coastal cha mwaka jana. |
Bawaziri amesema ameshamwandikia barua mwenyekiti wa klabu hiyo, Ibrahim Twaha lakini hajapata jibu lolote kutoka kwake kwa kuwa hivi sasa yupo kwenye ibada ya hijja jijini Makka, Oman. Hakuna kiongozi yeyote wa Coastal aliyejitokeza kuzungumzia suala hilo.
No comments:
Post a Comment