• Seynation Updates

    Wednesday 16 May 2018

    Kibarua cha Sam Allardyce kimeota nyasi katika klabu ya Everton

    Baada ya kuitumikia Everton kwa miezi 6, kibarua cha Sam Allardyce kimeota nyasi katika klabu ya Everton!.


    Uongozi wa klabu hiyo imetangaza uamuzi huo mapema leo baada ya kocha huyo kuitoa klabu hiyo kutoka nafasi 13 hadi nafasi ya 8.
    Bosi wa klabu hiyo, Denise Barrett-Baxendale amesema
    “On behalf of the Chairman, Board of Directors and Mr Moshiri, I’d like to thank Sam for the job he has done at Everton over the last seven months. Sam was brought in at a challenging time last season to provide us with some stability and we are grateful to him for doing that.
    “However, we have made the decision that, as part of our longer-term plan, we will be appointing a new manager this summer and will be commencing this process immediately. Again, we’d like to place on record our sincere thanks to Sam for his work with us over the last few months and wish him well for the future.”

    Rekodi ya Sam Allardyce Everton.
    26 games
    10 wins
    7 draws
    9 losses
    38.5% win rate

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI