.
Klabu ya Chelsea inatajwa kumleta Hiddink ili awe mrithi wa Mourinho
Klabu ya Chelsea inatajwa kumleta kocha wa kirusi aliyewahi kuifundisha klabu hiyo Guus Hiddink ili arithi mikoba ya Jose Mourinho ambaye anatajwa kutofikia malengo ya klabu kwa msimu huu
No comments:
Post a Comment