• Seynation Updates

    Monday 4 January 2016

    #HeadLinez: UBONDIA WAAMIA KANISANI...##VURUGU KATIKA KANISA LA KIPENTIKOSTE.(+VIDEO)

       Mwimbaji fulani wa nyimbo za Injili aliwahi Kuimba #Utanitambuaje_kama Nimeokoka ?  sasa Tutawezaje  kuwatambua  walokole halisi ikiwa hali halisi ndo hii   na hapo imemtokea Mchungaji vipi kwa waumini????

    Daah!! Hii ni aibu kubwa Mno kwa wale WALOKOLE...

    Vurugu hizo Zimeibuka Katika kanisa la EBENEZA LA KIPENTEKOSTE... Huku  waumini wa kanisa hilo Wakimshusha Mchungaji wao kiongozi anayetambulika kwa jina la MUSA MLEZI kutoka Madhabahuni, kwa shutuma za Kuendesha kanisa hilo kinyume na Maadili na kudhalilisha  wanawake...

    Tazama mpambano huo kanisani Huko...


    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI