Mashabiki wa soka nchini Tanzania na nyingine za eneo la Afrika Mashariki wamepokea kwa furaha ushindi wa Mtanzania Mbwana Ally Samatta kuwa mchezaji bora wa mwaka anayechezea barani Afrika.
Samatta baadaye aliweka kwenye Twitter picha hii inayomuonyesha akiwa na tuzo yake na akiwa amejifunika kwa shiti yenye rangi za bendera ya Tanzania.
Akizungumza baada ya kutangazwa mshindi, Samatta alisema: "Najivunia sana kushinda tuzo muhimu sana kiasi hiki. Naijionea fahari na kuonea fahari taifa langu pia. Natoka taifa (Tanzania) ambalo si moja ya mataifa makubwa katika soka Afrika. Kutawazwa kuwa mchezaji bora Afrika, ni jambo kubwa sana kwangu."
Mwanzo wa msisimko wa Mfaransa Zinedine Zidane kama kocha wa Real Madrid uliuamsha uwanja wa Santiago Bernabeu mwishoni wiki Mabingwa...
A GIFT TO YOU cOVER SINGERS DIR LUCAS KIDS NUMBER ONE PRODUCTIONS
About Seynation
Seynation is A social platform. Its Popular In Eastern Africa mostly In Tanzania, provides All sorts of News to public. Advertising with seynation is easy just contact
+255 684 224 468 Follow on instagram @seynation
No comments:
Post a Comment