Samatta baadaye aliweka kwenye Twitter picha hii inayomuonyesha akiwa na tuzo yake na akiwa amejifunika kwa shiti yenye rangi za bendera ya Tanzania.
Mashabiki wa soka nchini Tanzania na nyingine za eneo la Afrika Mashariki wamepokea kwa furaha ushindi wa Mtanzania Mbwana Ally Samatta kuwa mchezaji bora wa mwaka anayechezea barani Afrika.
No comments:
Post a Comment