• Seynation Updates

    Friday 6 January 2017

    PICHA: CHEKI POGBA ALIVYOMIND KUPIGWA PICHA

    Baada ya kuitwanga West Ham mabao mawili kwa Bila, Paul Pogba amewashangaza mapaparazi kwa uvaaji wake wakati anaenda kupata chakula cha usiku na washikaji zake huko Hale.
    Paul Pogba was seen in Hale at a restaurant with friends
    Pogba sasa amekuwa ni moja ya wachezaji ambao ameeanza kuvutia kwa mashabiki baada ya kuanza kufanya vizuri kwenye michezo yake, Sasa kama unavyojua ukishakuwa na rekodi kubwa ya mauzo duniani lazima Kamera za waandishi ziwe karibu yako, Pogba ameonekana kukerwa na picha ambazo alizokuwa akipigwa.

    The world record midfielder did not look impressed with the paparazzi

    Pogba has been a star during Manchester United’s long unbeaten run
    United have won seven in a row and have not lost since November 3
    Ili ujue kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye   FACEBOOK na  INSTAGRAM  @seynation ili niwe nakutumia kila kinachoonifikia.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI