Kama alivyoahidi Vanessa Mdee kupitia ukurasa wake wa Twitter Leo March 17 anatukaribisha kuitazama video mpya ya wimbo alioshirikishwa na Msanii Orezi kutoka Nigeria ambao unaitwa Just Like That.Unaweza kuitazama hapa na pia usiache kuniachia comment yako ili Vanessa akisoma ajue Watanzania wameipokea vipi hii.>>>>>
Friday 17 March 2017
MASTAA
No comments:
Post a Comment