• Seynation Updates

    Sunday 23 April 2017

    MAN FONGO NA SHOLO MWAMBA WAKIMBIZANA STUDIO




    "Hivi unawezaje kupewa milioni 10 ukampatia msanii laki mbili, huo ni ujinga na ninsingeweza kufanya hivyo. Mimi Man fongo sikuwa na makubaliano naye na lile halikuwa tangazo kama anavyodai. Mimi nilipata kazi kutoka kampuni ya simu ambayo ilidhamini show moja ya kuzunguka nchi nzima hivyo walitaka wasanii wafanye kitu kuhusiana na show hiyo lakini wakawa wamependekeza wasanii wanaowataka ndipo nilipokutana na uongozi wa Man fongo kujadili kazi.
    Baada ya kuanza kusumbuliwa na ile kampuni mbona kazi haitoki Fongo akawa anazingua mara ukipiga simu hapokei ikipokelewa anapokea mke wake lakini tulikuja kugundua kuwa anaogopa kufanya kazi na  Sholo Mwamba" amesema Mesen Selekta.
    Hata hivyo Mesen amesema baada ya migogoro iliyotokea kati ya Man fongo na Defatality music bado anamuhesabu msanii huyo kama chata wa singeli kwa kuwa ameweza kuwa msanii wa kwanza wa singeli kufanya shoo nje ya nchi.

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI