• Seynation Updates

    Wednesday 19 April 2017

    SHAMSA FORD APASUKA KICHWA KISA UGOMVI..



    Msanii wa filamu Shamsa Ford amepokea kichapo Jumanne hii katika harakati za kuamlia ugomvi wa watu ambao walikuwa wanapigana. 
    Malkia huyo wa filamu amekutwa na mkasa huo ikiwa ni mwezi mmoja toka aibiwe akaunti yake na Instagram yenye follows 2. 
    Muigizaji huyo amedai alipigwa ngumi ya uso katika harakati za kutafuta usalama wa watu hao ambao walikuwa wakipigana. 
    “Jana kwa moyo mmoja nimeenda kuamlia ugomvi watu wasipigane mwisho wa siku nikaambulia Mimi ngumi..HUYU mtu alishiba sana aiseee ngumi ilikuwa nzito sana..😃😃 niombeeni ndugu zangu panauma,” aliandika Shamsa Instagram. 
    Kwa sasa muigizaji anaendelea vizuri na matibabu.

    Source: UdakuSpecial

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI