• Seynation Updates

    Friday 1 December 2017

    DIAMOND PLATNUMZ- NIACHE LYRICS/ MASHAIRI




      Unahitaji mashairi ya NIACHE Ya Diamond Platnumz, yako hapa

      {Verse 1}
      Mmh
      Eti nikuombee mema na baraka uzidi fanikiwa
      Siwezi kamwe waah
      mmh ni sawa na kuifosi sinema kuitazama
      na haijanivutia lazima tu ntalala
      Ooh na kwa barabara ukipita
      Nenda kulia ukiniona kushoto
      Sitaki ata tuonane
      Mmh Usije wala ukanita donda vilia
      Utanchoteatu moto nisije nkutukane
      mmh usije wala ukanita donda vilia
      Mmh kinacho niumiza nafsi
      kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
      Kumbe mapenzi sabato
      akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
      We cementi me mchanga
      nkasema mapenzi tujenge lisije loa
      najitiya mkadalasi naezeka mabati
      Wachini kenchi unabomoa niache
      {Chorus}
      Niache
      Niache
      Nia…che
      (Oh Niache)
      Niache
      (Nipambane na moyo wangu)
      Niache
      Niache
      (Moyo wangu unahasira)
      Nia….che
      Niache
      {Verse 2}
      mmh najitahidi silaki kwenye kitaanda
      Huenda nkapunguza ndoto zako
      mmh
      mwilini nina machale utazani mwanga
      yote kusahau uwepo wako
      mmh
      laitikama ungekua gari
      ningekugonga barabarani
      ama nyuki ntoe asali
      nkung’ate sura wasitamani
      hivi we ungo ulivuja mwali
      ama ulivunja sahani
      kuniundia matimu kwa mitandao
      Vijembe vya kazi gani
      kinacho niumiza nafsi
      kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
      Kumbe mapenzi sabato
      akati nayazidisha mwenzangu nje unayatoa
      We cementi me mchanga
      nkasemamapenzi tujenge lisije loa
      najitiya mkadalasi naezeka mabati
      Wachini kenchi unabomoa niache
      {Chorus}
      Niache
      (Ohh Niache)
      Niache
      Moyo Wangu unahisi
      Nia…che
      na ukae mbali
      Niache
      (Ohh Niache)
      Niache
      Usiwapigie rafiki zangu
      Niache
      Usiwapigie rafiki zangu
      Nache usithibutu hata
      Nia….che
      Niache
      {Outro}
      mmh ntakudanganya kwa tabasamu
      ntakudanganya kwa kucheka
      ntakudanganya hata kwa salam
      ila moyoni nakuchukia
      ntakudanganya kukufollow
      ntakudanganya kucomment
      ntakudanganya kulike picha
      ila siwezi kukuzibia

      BOYA HAPA KUJIUNGA NA GROUP LETU LA WHATSAPP KUPATA LYRICS ZA NYIMBO UTAKAZO

      VIDEO MPYA

      UMBEA MTUPUU

      MAPENZI