• Seynation Updates

    Monday 29 January 2018

    (PICHA): WCB Yamtambulisha Rasmi Mbosso

    WCB Yamtambulisha  Rasmi Mbosso

    Usiku wa kuamkila leo WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz, wamemtambulisha msanii wao mpya Mbosso ambaye alikuwa Yamoto Band.

    Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali ikiwemo waandishi wa habari.



    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI