Inasemekana Mmiliki na muendeshaji wa Instagram Account ya Udaku_tz yupo chini ya ulinzi wa Polisi kufuatia kukamatwa na kuhojiwa kwa masaa kadhaa. Mshitakiwa huyo amewataja Babu Tale na Sallam Sk kuhusika katika kupenyeza na kusambaza Video ya udhalilishaji dhidi ya msanii Nandy na Billnass.
Washtakiwa hao wanaombwa kujitokeza Polisi ili kuelezea ni kwa namna gani video hio ilipatikana pamoja na nia na madhumunu ya kufanya hivyo..
SOURCE. SOUDY BROWN
Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment