• Seynation Updates

    Thursday 3 May 2018

    Mabosi waliompa Dili Mzee Majuta Hatiani...


    Tokeo la picha la MZEE MAJUTO
    Mzee Majuto

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa kuna Kampuni iko Mwanza iliingia Mkataba na King Majuto na Mkataba huo ulikuwa ni wakumlipa Milioni 24 wakatoa check, check hiyo ikawa haina Pesa, Hivyo serikali imewachukulia hatua wahusika.

    “Naomba niwaeleze wananchi Nimeunda jopo la wanasheria na tumeshaanza kikao cha kwanza sasa hivi kazi yetu kubwa kwasababu tumeshaanza na suala la Mzee Majuto ni kuangalia kazi zote akizokwisha zifanya na tunawaandikia barua wote waliohusika watupe mikataba wanayoijua wao tutakaa nao tuanza kuchambua mkataba mmoja baada mwingine na tutawataarifu itakavyo fuatia,” amesema Dkt. Mwakyembe
    “Kuna kampuni moja ya Mwanza waliingia Mkataba na King Majuto na Mkataba huo ulikuwa ni wakumlipa Milioni 24 wakatoa check, check hiyo ikawa haina Pesa tunashukuru uongozi wa Mwanza kwa kushirikiana nao wahusika wako ndani na tutaendelea kuchukua hatua kali kwa watu ambao wanadhani wanaweza kutumia jasho la wenzao kujinufaisha wenyewe,” alisisitiza.

    Tufuatilie Instagram @seynation
    A post shared by A REAL BOSS (@seynation) on

    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI