• Seynation Updates

    Monday 21 May 2018

    RAIS MAGUFULI AKUTANA NA ASKOFU MNDOLWA



    Askofu wa Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Maimbo Mndolwa jana alikutana na kufanya mazungumzo ya faragha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam kabla ya kusimikwa rasmi kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania.

    Akifanya mazungumzo na Rais Magufuli, Askofu Mndolwa alisema kuwa, Tanzania inayokuja inaonekana anaiona yenye kuwa na neema ya kipekee licha ya changamoto zilizopo.



    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI