Msanii huyo alikua na show ambazo ilimpasa azifanye lakini kutokana na ajali hio ameomba msamaha kwa mashabiki zake kwani hali yake sio nzuri sauna.
Sunday 13 May 2018
HARDNEWZ
Msanii huyo alikua na show ambazo ilimpasa azifanye lakini kutokana na ajali hio ameomba msamaha kwa mashabiki zake kwani hali yake sio nzuri sauna.
Msanii wa bongo fleva Moni Centrozone Anayetamba na ngoma yake mpya ya Kimasta, alipata ajali baada ya kupitiwa na tairi la gari na kumjeruhi mguu wake wa kulia ambapo sehemu alizo umia ni Goti na Ankle..
SALAMU ZA POLE KWA MONI CENTROZONE BAADA YA KUPATA AJALI
Msanii huyo alikua na show ambazo ilimpasa azifanye lakini kutokana na ajali hio ameomba msamaha kwa mashabiki zake kwani hali yake sio nzuri sauna.
No comments:
Post a Comment