Kizey Money Ni chata mpya kwenye kiwanda cha Mziki Wa Bongo fleva, ni mwanamapinduzi kwenye hili game.. #Zungusha imetungwa na Kizey mwenyewe na kupewa promo na #SEYNATION MEDIA..
Shusha comments zako kumpa sapoti na kumtia moyo kijana wetu. #USISAHAUKU_SUSSCRIBE
No comments:
Post a Comment