• Seynation Updates

    Tuesday 22 March 2016

    BREAKING NEWS: UKAWA YAI TEKA DAR.

    Diwani Isaya Mwita (CHADEMA) kupitia Vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es salaam, baada ya  kuishinda CCM iliyopata kura 67, huku UKAWA wakipata kura 84, ambapo kura 7 zili haribika.

    Uchaguzi huo ulifanyika leo Machi 22 kuanzia majira ya saa 4.00 asubuhi katika ukumbi wa Karimjee.

    Uchaguzi huo uliahirishwa mara tatu kwa sababu mbalimbali, ikiwamo zuio batili la mahakama lililowekwa na makada wa CCM, katika Mahakama Hakimu Mkazi wa Kisutu.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI