• Seynation Updates

    Tuesday 20 September 2016

    UFUFUO WA ATCL NDEGE MPYA YAWASILI(+PICHA)

    Ndege ya kwanza ya ATCL, Bombadier Q400 NextGen.
    n3
    Bombadier Q400 NextGen baada ya kuwasilia JNIA, Dar Jumanne hii
    Ndege hiyo imetokea Canada ilikotengenezwa na kupokelewa kwa shangwe huku mapokezi hayo yakiongozwa na katibu mkuu wa uchukuzi, Dkt Leonard Chamriho.
    n2
    Ndege hiyo ina uwezo wa kubeba abiria 76.
    n9
    Ndege ya pili itawasili baada ya wiki moja na Rais John Magufuli ataongoza mapokezi rasmi ya ndege hizo.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI