• Seynation Updates

    Sunday 12 February 2017

    VIDEO : Hotuba ya Rais Dkt. John P. Magufuli, pia awataka watanzania kuwaunga mkono viongozi wanaopambana na dawa za kulevya. 12/02/2017

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli amewataka watanzania kuwaunga mkono viongozi wanaopambana na matumizi na biashara ya madawa wa kulevya. Ametoa kauli hiyo Jumapili hii wakati wa kuapishwa kwa Kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Rogers William Siyanga.

    Hii ni taarifa ya Ikulu:


    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI