Mke wa Roma hakua na Amani usiku na Mchana..alifanya juhudi za kila aina kumtafuta Roma huku akishirikiana na vyombo vya usalama pamoja na sapoti kutoka kwa Wasanii wa BONGO FLAVOUR....
J"Mosi Tar 8 Roma na wenzake waliweza kuonekana wakiwa wazima..
Kupitia tukio hilo Mama Mzazi Wa MONI alisema mazito juu ya MONI..TAZAMA VIDEO HII..
No comments:
Post a Comment