• Seynation Updates

    Tuesday 21 June 2016

    FACEBOK NA TWITTER ZATUMBULIWA KISA KUVUJISHA MITIHANI YA TAIFA



    Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na  serekali ya Algeria zinaeleza  kwamba serekali hiyo imeamuwa kusimamisha mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter baada ya kugundua na kuthibitisha wizi wa mitihani ya kitaifa nchini humo na  kusambazwa kwa zaidi ya wanafunzi laki 550,000 kupitia mitandao ya Facebook na Twetter kabla ya mitihani hiyo kufanyika.

    Uamuzi huo ulichukuliwa na serikali hiyo siku ya Jumamosi usiku.

    Serikali hiyo baada ya kugundua hilo iliamua kuahirisha mitihani hiyo ya kitaifa na kuamuru mitandao ya kijamii ifungwe mpaka pale ambapo itakapotungwa mitihani mingine mipya.

    Source: TRTWorld and agencies 

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI