• Seynation Updates

    Saturday 29 April 2017

    VIDEO: Ushindi wa kwanza wa Simba vs Azam FC 2017.

    Simba  imefanikiwa kupata ushindi wa kwanza dhidi ya Azam FC kwa mwaka 2017 baada ya kupoteza michezo yao miwili kati ya mitatu waliyocheza dhidi ya Azam FC kwa mwaka 2017, Simba imefanikiwa kupata ushindi wa goli 1-0 lililofungwa na Mohamed Ibrahim dakika ya 48 kwa kutumia vyema pasi kutoka kwa Laudit Mavugo. 29/04/2017.



    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI