• Seynation Updates

    Friday 5 May 2017

    MCHANA KWEUPE: HARMONIZE AFUNGUKA WAZI WAMEACHANA NA WOLPER.

    Leo Mwanamuziki Harmonize kwenye Kipindi cha Leo Tena Cha Clouds Fm amefunguka Rasmi Baada kipindi cha muda mrefu amekuwa akikataa kuvunjika kwa Penzi lake Na Mwanadada Jackline wolper Lakini Leo amefunguka Kuwa Wameachana na Aliyekuwa Mpenzi Wake Mwanadada Jackline Wolper 
    Je Unamaoni Gani Mdau ???

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI