Siku moja baada meya wa Ubungo Boniface Jacob kwa kushirikiana na kamati ya mtaa wa Ubungo kuupa jina la Victor Wanyama mtaa ambao ulikuwa unajulikana kama NHC, Tanzania imezidi kuchukua headlines kwa kitendo hicho kutoka katika mitandao mbalimbali mikubwa duniani.
Mtaa wa NHC kwa sasa unaitwa jina la kiungo wa Tottenham Hotspurs ambaye pia ni nahodha wa timu ya Kenya Victor Wanyama kufuatia ujio wa staa huyo katika mtaa huo kushuhudia mechi ya mtaani ya Ndondo Cup kati ya Faru Jeuri dhidi ya Kauzu FC
HALI KADHALIKA HUKU BONGO YAMEIBUKA HAYAAA
Monday 26 June 2017
UDAKU