• Seynation Updates

    Tuesday 4 July 2017

    Ali Kiba Atangazwa Kuwa Mmiliki wa Kampuni ya Rockstar4000.

    Baada ya kufanya kazi na kampuni ya usimamizi wa kazi zake ya #Rockstar4000 kwa takribani miaka 6, usiku wa jana King Kiba alitangazwa rasmi kuwa sehemu ya wamiliki wa kampuni ya #Rockstar4000 Music Entertainment Co & Rockstar Television. 

    Alikiba sasa anakuwa sehemu ya wasanii waliochini ya Rockstar4000 pia anakuwa Director of Music n Talents. 

    Rockstar Television inajishughulisha na utengenezaji wa vipindi vya mastar tofauti kutoka nchi mbalimbali na kuvisambaza katika vituo vya Television vya kimataifa.

    #MkurugenziAli #DirectorKiba

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI