• Seynation Updates

    Friday 21 July 2017

    WCB kuwania Tuzo za AFRIMMA 2017. (Music wa Darasa kumpeleka AFRIMMA)

    Good News nyingine hii hapa, usiku wa kuamkia leo July 21, 2017 Waandaaji wa African Muzik Magazine Awards ‘AFRIMMA’ wametangaza list ya wasanii wanaowania tuzo katika vipengele mbalimbali kwa mwaka 2017 ambazo hujumuisha Mastaa kibao katika tasnia ya muziki wa Afrika.
    Muziki wa Bongofleva haujaachwa kwenye list hiyo ambapo mastaa kutoka Tanzania Diamond Platnumz, Alikiba, Rayvanny, Tuddy Thomas, Darassa, Lady Jay Dee,Vanessa Mdee, Dayna Nyange, Yamoto Band na DJ D-Ommy wameiwakilisha vizuri.
    Sherehe za utoaji wa Tuzo hizo zitafanyika House of Blues, Dallas, Texas Marekani Jumapili October 8, 2017.
    TAZAMA ORODHA YA WABONGO WANAO WANIA TUZO HAPA CHINI.:-
    Best Male West Africa
    Best Female West Africa
    Best Male East Africa
    • Diamond Platnumz – Tanzania
    • Ali Kiba – Tanzania
    • Darasa – Tanzania
    Best Female East Africa
    • Vanessa Mdee – Tanzania
    • Lady Jaydee (Tanzania)
    • Dayna Nyange – Tanzania
    Best Male Central Africa
    Best Female Central Africa
    Best Male Southern Africa
    Best Female Southern Africa
    Best Male North Africa
    Best Female North Africa
    Best African Group
    • Yamoto Band – Tanzania
    Crossing Boundaries With Music Award
    Best Gospel
    Best Newcomer
    • Ray Vanny – Tanzania
    Artist of The Year
    • Diamond Platnumz ( Tanzania)
    Dancehall Act of the Year
    Best Video Director
    Best Dj Africa
    • Dj D-Ommy – Tanzania
    Best African Dj USA
    AFRIMMA Video of The Year
    • Diamond Platnumz ft Ray Vanny – Salome (Tanzania)
    Music Producer of The Year
    • Tud Thomas – Tanzania
    Best African Dancer
    • Moses Iyobo – Tanzania
    Best Rap Act
    Best Collaboration
    • Diamond Platnumz ft Neo – Marry you (Tanzania/USA)
    • Darasa ft Ben Pol- muziki (Tanzania)
    Song of The Year
    • Diamond Platnumz ft Rayvanny – Salome (Tanzania)
    • Darasa ft Ben Pol – Muziki (Tanzania)
    Best Lusophone
    Best Francophone
    Best Sound Engineer
    • Tud Thomas- Tanzania

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI