• Seynation Updates

    Friday 21 July 2017

    Dude la Jerry Muro laamshwa. Ni baada ya kupigwa chini Yanga.


    JERRY MURO: "Yanga kuna majungu,Yanga kuna watu wanapenda wafanye vitu vyao,Yanga kuna wanafiki, wanafiki ambao watakwambia ufanye hiki ukikifanya unaingia chaka,Yanga kuna watu wazuri sana, Yanga kuna watu wenye  akili, Yanga kuna watu kwenye msaada wa kweli, Yanga kuna watu wenye mapenzi ya kweli kuhakikisha Yanga inakuwa kama TP Mazembe watu wote hao wapo  Yanga"

    Unachotakiwa kufanya ni kufungua macho kuangalia ni nani  anakuletea ushauri, maana kuna mwingine anakuletea ushauri wakati yeye kashindwa kuongoza nyumba yake kaachana na mkewe ,hajali watoto wake,yeye mwenyewe kufua nguo hafui nguo,Yeye mwenyewe kuvaa vest safi havai maisha yake  yamemshinda''

    Mungu anasema unapojipenda nafsi yako wewe mpende na jirani, kaka kama MTU kashindwa kuendesha familia yake  kamwe hawezi kuendesha Yanga''

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI