• Seynation Updates

    Monday 13 November 2017

    Orodha kamili ya washindi wa tuzo za AFRIMA

    Zoezi la ugawaji wa tuzo za muziki za AFRIMA (All Africa Music Awards) kwa mwaka 2017 limehitimishwa jana nchini Nigeria katika Hoteli ya Eko.
    Mastaa kadhaa wameweza kujishindia tuzo hiyo kubwa ya muziki kama vile Wizkid, Simi, M.I, Tiwa Savage, Ycee, Orezi, 2Baba, Alikiba na wengineo.
    Kwa upande wa Wizkid aliondoka tatu ambazo ni Song of the Year, Artist of the Year & Best West African Act (Male), na kwa msanii Alikiba aliondoka na tuzo mbili Best Africa Collaboration na Best Artist or Group in Africa RnB and Soul.
    Orodha kamili ya washindi;
    Best Central African Act (Male) – Locko
    Best Central African Act (Female) – Montess
    Best East African Act (Male) – Eddy Kenzo
    Best East African Act (Female) – Nandy
    Best Southern Africa Act (Male) – Emtee
    Best West African Act (Male) – Wizkid
    Best West African Act (Female) – Tiwa Savage
    Best African Collaboration – Alikiba feat M.I – “AJE“
    Best Artist in African Rock – Gilad Millo (Kenya)
    Best Artist or Group in African RnB & Soul – Alikiba feat. M.I – “AJE“.
    Best Artist or Group in African Contemporary: DJ Tunez feat. Wande Coal – “Iskaba“
    Best Artist or Group in African Raggae & Dancehall – 2Baba – “Holy Holy“
    Best Artist or Group in African Hip Hop – Ycee – “Juice“
    Best Artist of Group in African Pop – Toofan
    Video of the Year – Orezi x Adasa Cookey – “Cooking Pot“
    Best Female Artist in Inspirational Music: Asikey George
    African Songwriter of the Year – Simi
    Producer of the Year – DJ Coublon for Seyi Shay’s “Yolo Yolo“
    Artist of the Year – Wizkid
    Song of the Year – Wizkid feat. Drake – “Come Closer“


    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI