ILIPO ISHIA NO 1
nikama Isabelah alikuwa anamsubiri mtu flani, huku wakati wote macho yake
yakiwa kwenye maji, akionyesha shauku kubwa ya kukiona anachokingoja
ENDELEA.........
Binti Isabelah alikaa sana mahali pale huku akisikiliza mtililiko
wamaji, ya mto Matilila, pasipo kuona kitu anacho kisubiri, kiukweli Isabelah
alikuwa mrembo sana tena vijana wapale kijijini walikuwa wameingia chuki kwa
binti huyu asa kutokana na tabia yake ya kuwakatalia kuwa wapenzi wao,
ilifikia kipindi ambacho wengine walitamani kumvizia ili wambake, lakini,
waliogopa tabia ya wanga ya bibi yake Isabelah, siyo kwamba hakuwa na babu ,
babu yake alikuwepo lakini hakuwa na sauti juu ya bibi yake, kwani hakuna
hasie mwogopa bibi Mbuyamundu, pale kijijini na vijiji vya jilani, Isabelah
akiwa amezama kwenye mawazo nahisia nzito, kam za mapenzi aliendelea kusubiri
pale mtoni, mawazo yalihama nakuanza kuwakumbuka wazazi wake, ambao vifo vyao
vilizuwa utata mpaka leo haija julikana walikufaje, maana ilikuwa ni kipindi
cha likizo, ndipo wazazi wao wakiwa na watoto wao wawili yani, yeye Isabelah
na kaka yake Kaoda, walitoka mjini walipokuwa wana fanya kaazi na kuelekea
kijijini kwao Matimila, ilkikuwa ni baada ya miaka mingi sana kupita pasipo
kwenda kuwasalimia wazazi wao, wakiwa huko kijijini walishuhudia marumbano,
kati ya bibi yao na baba yao, kutokana na umri kuwa mdogo maana Isabela
alikuwa na miaka mi tano na kaka yake alikuwa na miaka tisa, hivyo hakujuwa
chanzo cha marumbano hayo, ndipo sikuchache baadae baba yao ali gongwa na
nyoka, inavyo semekana, japo nyoka huyo hakuonekana, naukichukulia ilikuwa
ndani ya nyumbayao, baada ya kumzika baba yao, mama yao nae, akawataka wana
waondoke warudi mjini, jambo ambalo bibi yao alilipinga vikali, yakaibuka
marumbano mapya, ndipo sikumoja mama yao na bibi yao walienda kuchota maji mto
matimila, kitu cha kushangaza, alilrudi bibi peke yake , akasema mama yao
amepotea kwenye maji, inamaana amekufa kwenye maji, na hakuonekana kabisa,
Naam baada ya kaasana pale akiwaza, huku akisubiri anacho kijuwa yeye,
baadae alionekana kukata tamaa, pia aliogopa kusemwa na bibi yake akaamua
kuinuka na kuelekea ndani yamaji ya mto matimila, akaingia ndani ya maji,
kisha akachota maji kwenye ndoo yake, nakuya weka kichwani , kisha aka
anzakutoka kwenye maji, wakati anataka kutoaka kwenye maji mala akasikia kitu
kina mgusa kenye mguu wake..... nikitugani kilicho mgusa Isabelah? haya wadau
huyo ndie binti Isabelah, ilikujuwa zaidi kisa na mkasa tafadhari endelea
kufwatilia kisa na mkasa, chakufanya Tembelea Blog hii sa SEYNATION kila siku na pia Download APP yetu hapo chini.
No comments:
Post a Comment