Mtangazaji na Mchekeshaji Idris Sultan, kupitia Account yake ya Instagram kama ilivyo kawaida yake amemtania Msanii Dogo Janja kutokana na Video ya WAYU WAYU kwani kupitia Video hiyo Dogo Janja Alicheza kama Mwanamke na Mwanaume. Hata hivyo video hio imezua maswali mengi kwa mashabiki wa Dogo Janja, na kwa mujibu wa Dogo Janja Mwenyewe anasema kuwa hicho ni kitu kidogo tu kwani kuna Suprise kibao zinakuja kwenye video zake nyingine. Inasemekana kuwa Kitendo hicho cha Dogo Janja ni kutokana na Masharti aliyopewa na Mke wake ambae ni Irene Uwoya.
Kutokana na hayo yote Idris Sultan Amefunguka kama Ifuatavyo..
No comments:
Post a Comment