Huyu mheshimiwa, kati ya maswali 10 atakayoulizwa atajibu 2 tu!
Yeye kwake kila kitu nni PERSONAL... Aaagrh, wewe ni msanii mkubwa bwana, watu wanapenda kujua na kujifunza kutoka kwako including some of your personal life stories (Sio kila kitu off course cha kuweka hadharani) lkn kwako ni too much!
Ila wewe Ali Kiba ifike hatua hilo pepo likutoke asee.
No comments:
Post a Comment