• Seynation Updates

    Sunday 13 May 2018

    ALI KIBA ANA SHIDA GANI, ANAKERA NA UBINAFSI WAKE



    Tofauti na masuper wengine ambao ukiangalia interviews zao mtazamaji utajifunza kitu kutoka kwake, na ataku-inspire kwa namna moja au nyingine.
    Huyu mheshimiwa, kati ya maswali 10 atakayoulizwa atajibu 2 tu!

    Yeye kwake kila kitu nni PERSONAL... Aaagrh, wewe ni msanii mkubwa bwana, watu wanapenda kujua na kujifunza kutoka kwako including some of your personal life stories (Sio kila kitu off course cha kuweka hadharani) lkn kwako ni too much!

    Ila wewe Ali Kiba ifike hatua hilo pepo likutoke asee.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI