Alichokiandika Ali Kiba Instagram |
Ikiwa zimepita siku chache baada ya msanii huyo kuachia wimbo wa Mvumo wa Radi ambao tayari ulikuwa YouTube na Views za wimbo huo zilikua zikitishia amani kwakweli. Kutokana na kasi ya viewers kuongezeka kwenye wimbo huo, wameibuka hackers na kuweza kublock views kuhesabika yaani, (Blocked Views) ..
Aidha Ali Kiba kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kuwa Wanalishughulikia tatizo hilo kwani wanawasiliana na makao makuu ya YouTube..
No comments:
Post a Comment