• Seynation Updates

    Tuesday 12 June 2018

    Ona Huyu Mwanamke Alichomfanyia Mmewe Mpaka Kapatwa na Kizunguzungu Cha Ghafla



    Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!

    MUME: Amka twende jogging mke wangu?

    MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?

    MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.

    MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?

    MUME: Basi yaishe endelea kulala🤗
    MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?

    MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby

    MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?

    MUME: Jamani mi sijasema hilo

    MKE: Kwa hiyo mie muongo?

    MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii

    MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?

    MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
    MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"🤐

    MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
    MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...

    MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
    Mke: Kwahiyo ulikua unanijaribu?


    Wanawake Mungu anawaona

    *NDIO MAANA WANAUME TUNAKUFA MAPEMA NA KUWAACHA WENGI MKIWA WAJANE*



    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI