• Seynation Updates

    Monday 4 June 2018

    Zari Akubali Kurudiana Diamond....



    Baada ya masaa takribani 13,tangu hit maker wa African Beuty na King of Pop in Afrika ambaye bado anasumbua na ngoma aliyoshirikishwa na harmonize "Kwangwaru,Diamond Platnumz maarufu kama Chibu Dee kuachia kichupa cha karne "Iyena" hatimaye Star wa Manzese True Boy "Nay wa mitego ameibuka na kumwagia sifa kijana huyo ambaye leo amenunua :D:Dpage zote za instagram na youtube kwa kazi nzuri ya wimbo huo uliopo kwenye album ya A boy from Tandale.

    Katika post yake huko IG Nay amesifia kazi nzuri na kumlaumu Diamond kwa kupuyanga na "Mapugi machafua nyota" .

    Aidha,Nay amesema anafanya mpango aongee na mama Tee ili yaishe jambo hilo limemfurahisha Zari ambapo amelike na Kukomenti post hiyo kwa kuweka emoji ya Kusalimu amri... 

    Je hii ni ishara kwamba Mama Nillan yuko tayari kurudi Madale?

    Toa maoni yako 

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI