• Seynation Updates

    Friday 1 June 2018

    Zinedine Zidane abwaga manyanga Real Madrid Kavunja rekodi ya kuchukua UCL kwa mara ya Tatu.

    Tokeo la picha la zinedine zidane

    Zinedine Zidane abwaga manyanga Real Madrid baada ya kuandika rekodi ya kuchukua UCL kwa mara ya Tatu.

    Kocha huyo aliirithi mikoba ya Rafa Benitez Mwezi January 2016. Licha ya kuwa mwamba wa mataji ya Ulaya, Zizzou ameshindwa kuwika Nyumbani akichukua La Liga mara Moja ndani ya Miaka yake Miwili na Nusu.

    Uamuzi huo wa Zidane umekuwa wa kushtusha na bila kutarajia, amesema Rais wa Klabu hiyo Florentino Perez. | Zidane amepanga kuondoka rasmi kwenye ardhi ya Santiago Bernabeu, Jumatano wiki ijayo


    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI