• Seynation Updates

    Thursday 10 December 2015

    LISTI NZIMA YA MAWAZIRI WALIO TEULIWA LEO TAR 10/12/2015 NA MH. MAGUFULI HII HAPA...... lakini BADO NAFASI NNE ZINATAFUTWA

    Dkt Magufuli amesema bado anatafuta watu wa kujaza nafasi nne

    Rais wa Tanzania John Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri ambalo kwa sasa lina mawaziri 19, ingawa wizara ni 18. Mawaziri sita kati ya hao ni wanawake.

    Dkt Magufuli amesema kuna nafasi nne za uwaziri ambazo bado anatafuta watu wanaofaa kuteuliwa.
    Walioteuliwa ni:
    1.Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora.
    Mawaziri – George Simbachawene na Angella Kairuki
    Naibu Waziri – Sumeilam Jafo.
    2.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira
    Waziri – January Makamba
    Naibu Waziri – Luhaga Jerrson Mpina
    3.Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu
    Waziri – Jenista Muhagama
    MaNaibu – Dkt Possy Abdallah na Anthony Mavunde.
    4.Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    Waziri – Mwigulu Nchemba
    Naibu Waziri – William Ole Nasha
    5.Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
    Waziri Bado hajapatikana.
    Naibu Waziri – Edwin Ambandusi Ngonyani
    6.Wizara ya Fedha na Mipango
    Waziri Bado hajapatikana.
    Naibu Waziri – Ashantu Kizachi
    7.Wizara ya Nishati na Madini
    Waziri – Prof Mwigalumi Muhongo.
    Naibu Waziri – Medalled Karemaligo.
    8.Wizara ya Katiba na Sheria,
    Waziri – Harrison Mwakyembe
    9.Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.
    Waziri – Dkt Augustino Mahiga
    Naibu Waziri – Dkt Susan Kolimba.
    10.Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
    Waziri – Dk Hussein Mwinyi
    11.Wizara ya Mambo ya Ndani
    Waziri – Charles Kitwanga.
    12.Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
    Waziri – William Lukuvi
    Naibu Waziri – Angelina Mabula
    13.Wizara ya Maliasili na Utalii
    Waziri Bado hajapatikana.
    Naibu Waziri– Ramol Makani
    14.Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
    Waziri Charles Mwijage.
    15.Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Ufundi.
    Waziri Bado hajapatikana.
    Naibu Waziri – Stella Manyanya
    16.Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
    Waziri – Ummy Mwalim
    Naibu Waziri – Dkt Hamis Kigwangala
    17.Wizara ya Habari, Utamadu, Wasanii na Michezo
    Waziri – Nape Nnauye
    Naibu Waziri – Anastasia Wambura.
    18.Wizara ya Maji na Umwagiliaji
    Waziri – Prof Makame Mbarawa
    Naibu Waziri - Isack Kamwela

                                               HAPA KAZI TU...

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI