• Seynation Updates

    Tuesday 14 June 2016

    WAISLAMU WASHIRIKI UJENZI WA KANISA NCHINI PAKISTAN



    Mji mmoja nchini Pakistan katika jimbo la Punjab, ambao ulipata umaarufu kutokana na vurugu zake dhidi ya makundi ya jamii ndogo ndogo umeleta watu pamoja kwa njia isiyo ya kawaida hasa kupitia udini.

    Wakulima maskini wa Kiislamu katika kijiji cha Gojra wanachanga fedha ili kusaidia katika ujenzi wa kanisa kwenye eneo lao.

    Lakini hali hii ya kuelewana na kuvumiliana kweli itawezekana katika eneo ambalo mara nyingi hutokea fujo za kidini?

    Kujua Kwa kina  juu mkasa huu..enedelea kufuatilia Blog hii mara kwa Mara.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI