• Seynation Updates

    Monday 19 September 2016

    MANDOZA' KING OF KWAITO' AFARIKI DUNIA NA MIAKA 38

    Muimbaji wa muziki wa Kwaito nchini Afrika Kusini, Mduduzi Tshabalala maarufu kama Mandoza, amefariki dunia Jumapili, akiwa na miaka 38.
    mandoza
    Muimbaji huyo aliwahi kutoa nyimbo zilizofanya vizuri zikiwemo Nkalakatha, Godoba na Sgelekeqe. Wiki iliyopita, familia yake ilithibitisha kuwa alikuwa akitibitiwa kwa uvimbe kwenye ubongo.
    Mandoza alitumbuiza September 10, 2016 jijini Johannesburg kwenye tamasha la SABC kwenye uwanja wa Orlando.

    mandoza

    Muimbaji huyo aliwahi kutoa nyimbo zilizofanya vizuri zikiwemo Nkalakatha, Godoba na Sgelekeqe. Wiki iliyopita, familia yake ilithibitisha kuwa alikuwa akitibitiwa kwa uvimbe kwenye ubongo.
    Mandoza alitumbuiza September 10, 2016 jijini Johannesburg kwenye tamasha la SABC kwenye uwanja wa Orlando.
    Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma ametuma salamu za rambirambi.
    324415789-president-zuma-extends-condolences-on-the-passing-of-kwaito-music-legend-mandoza-page-001

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI