• Seynation Updates

    Tuesday 10 January 2017

    KENYATTA ASUTWA MITANDAONI NA WAKENYA (pics)


    Rais Kenyatta akizindua darajaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionRais Kenyatta akizindua daraja
    Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekuwa wakimsuta Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia hatua zake za kuzindua miradi.
    Wakosoaji wanasema kuwa baadhi ya miradi ilizinduliwa na Rais Kenyatta ilikuwa ikiendelea au tayari ilikuwa imezinduliwa.
    Wengine nao wanasema kuwa hatua hiyo iko chini ya hadhi ya rais.
    Wiki iliyopita bwana Kenyatta ambaye atawania urais tena mwezi Agosti alikuwa mjini Mombasa ambape alizindua daraja.
    Baadhi wa watumiaji wa mtandao wa Twitter wametumia uzinduzi huo kama chanzo cha kumsuta rais.
    Wakitumia #UhuruChallenge, wamechapisha mifano yao ya vitu walikuwa wakizindua.
    Ujumbe unaomsuta Rais KenyattaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionUjumbe unaomsuta Rais Kenyatta
    Ujumbe unaomsuta Rais KenyattaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionUjumbe unaomsuta Rais Kenyatta
    Ujumbe unaomsuta Rais KenyattaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionUjumbe unaomsuta Rais Kenyatta
    Ujumbe unaomsuta Rais KenyattaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionUjumbe unaomsuta Rais Kenyatta
    Ujumbe unaomsuta Rais KenyattaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionUjumbe unaomsuta Rais Kenyatta
    Maeneo kadha ukiwemo mji mkuu Nairobi, pwani na maeneo ya kaskazini mwa nchi yamekuwa yakikumbwa na ukoseu wa nguvu za umeme hali iliyosababisha rais kusutwa zaidi
    Ujumbe unaomsuta Rais KenyattaHaki miliki ya pichaTWITTER
    Image captionUjumbe unaomsuta Rais Kenyatta


    Ili ujue kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye   FACEBOOK na  INSTAGRAM  @seynation ili niwe nakutumia kila kinachoonifikia.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI