• Seynation Updates

    Wednesday 21 February 2018

    ISABELAH SEHEMU YA 10 (18+)

    Image may contain: one or more people and text




    Kwa kutangaza biashara, tukio. au chochote kile kupitia blog hii wasiliana nasi 0684 224 468, 0767 892 902.

    Yenda alichukuwa maficho nakwenda upande wa juu zaidi, yanapo tokea maji

    huku akijuwa yakuwa, Kadoda akifanikiwa kupeleka maji nyumbani, basi hato pata

    nafasi ya kumwona mpenzi wake Isabelah, hapo akapata wazo la kuyachafua yale
    maji, ikiwa ni mbinu aliyo ifikilia, kwa maana alijuwa lazima watitaji maji
    masafi, na Kadoda awezi tna kurudi tena mtoni, lazima watamtuma Isabelah,
    baada ya kufanya hivyo Yenda alienda karibu na njia yakujia pale mtoni, upande
    wa mtoni, sehemu yenye majani mengi na kujibanza, ilikuangalia kama mtego wake
    umefanikiwa, ndipo alipomwona Kadoda anatelemka, mtoni huku ana angalia huku
    nahuku, kama kuna kitu anatafuta, Yenda akatabasam, akawona Kadoda anashangaa
    maji yale ambayo bado yalikuwa yamechafuka sana, akamwona akichota haraka
    nakuanza kuondoka, akipita karibu yake, na ndoo yamaji machafu mkononi,
    akaendelea kupandisha kuelekea nyumbani kwao, hapo akaona mtego wake
    umefanikiwa, pado lengo lake je wata mtuma Isabelah, hapo akatulia akisubili
    majibu ya kazi yake, wakati yeye anamgongoja Isabelah, amba alikuwa anasafisha
    vyombo huku mawazo yake yote yapo kwa Yenda, aliwaza kama kaka yake atamkuta
    Yenda pale mtoni, maana alikuwa na uakika kuwa Yenda anamngoja pale pale, pia
    alifikilia njia ambayo ita mwezesha kwenda kuonana na Yenda, maana alitamani
    sana kwenda kupata dudu, ilikuwa kama dose yakila siku kwake, na kwaukweli,
    kila siku walikuwa wakipeana vitu tofauti, vilivyo fanya wasichoke kula tamu
    kila siku, Kadoda akiwa na ndoo ya maji, alitembea kwenye amsitu peke yake
    huku akiwaza, "Isabelah anawezaje kuja pekeyake huku mtoni, ina maana haya
    mauza uza hayamtokeagi, au anatembea na jini?" alipo waza hivyo akajikuta
    anaumia roho yake, na mwili uka msisimka kama ametembelewa na funza mbavuni
    mwake, akayakemea kwanguvu zote mawazo hayo, huku akiomba mungu hisije
    kutokea, Yenda alitulia juu ya jiwe baada ya kutoka mafichoni alipo kuwa
    amejificha mwanzo, akimsubiri mpenzi wake Isabelah, akiamini kuwa, kwa mbinu
    aliyoitumia lazima kieleweke, ukweli alikuwa ametokea kumpenda sana huyu
    binaadamu, kiasi cha kuwa hacha warembo wazuri wakwao, moja ya vitu vilivyo
    mvutia, ni joto ambalo linapatika kwenye kitumbua cha binadamu huyu, kipindi
    anapo ingiza dudu, japo hakuwai kupata, mwanamke wakwao, lakini aliamini
    hivyo, (mimi sijuwi ni kwanini alifikilia hivyo, labda, tafakari kisha
    nijulishe, kwa comment,) basi akati yeye ana endelea, kumsubiri mpenzi wake,
    huku Isabelah akiwa bado anasafisha vyombo, alimwona kaka yake anakuja kwa
    mwendo wa haraka, na ndoo mkononi, uso wake alishindwa kuu tafsili, kama ni
    wasiwasi, au hasira, hapo mapigo ya moyo ya Isabelah yalimwenda mbio, akajuwa
    kuna jambo limetokea huko mtoni, akaa tayali kwa lolote, hee!.....





    Kwa kutangaza biashara, tukio. au chochote kile kupitia blog hii wasiliana nasi 0684 224 468, 0767 892 902.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI