Kwa kutangaza biashara, tukio. au chochote kile kupitia blog hii wasiliana nasi 0684 224 468, 0767 892 902.
Yenda alichukuwa maficho nakwenda upande wa juu zaidi, yanapo tokea maji
huku akijuwa yakuwa, Kadoda akifanikiwa kupeleka maji nyumbani, basi hato pata
nafasi ya kumwona mpenzi wake Isabelah, hapo akapata wazo la kuyachafua yale
maji, ikiwa ni mbinu aliyo ifikilia, kwa maana alijuwa lazima watitaji maji
masafi, na Kadoda awezi tna kurudi tena mtoni, lazima watamtuma Isabelah,
baada ya kufanya hivyo Yenda alienda karibu na njia yakujia pale mtoni, upande
wa mtoni, sehemu yenye majani mengi na kujibanza, ilikuangalia kama mtego wake
umefanikiwa, ndipo alipomwona Kadoda anatelemka, mtoni huku ana angalia huku
nahuku, kama kuna kitu anatafuta, Yenda akatabasam, akawona Kadoda anashangaa
maji yale ambayo bado yalikuwa yamechafuka sana, akamwona akichota haraka
nakuanza kuondoka, akipita karibu yake, na ndoo yamaji machafu mkononi,
akaendelea kupandisha kuelekea nyumbani kwao, hapo akaona mtego wake
umefanikiwa, pado lengo lake je wata mtuma Isabelah, hapo akatulia akisubili
majibu ya kazi yake, wakati yeye anamgongoja Isabelah, amba alikuwa anasafisha
vyombo huku mawazo yake yote yapo kwa Yenda, aliwaza kama kaka yake atamkuta
Yenda pale mtoni, maana alikuwa na uakika kuwa Yenda anamngoja pale pale, pia
alifikilia njia ambayo ita mwezesha kwenda kuonana na Yenda, maana alitamani
sana kwenda kupata dudu, ilikuwa kama dose yakila siku kwake, na kwaukweli,
kila siku walikuwa wakipeana vitu tofauti, vilivyo fanya wasichoke kula tamu
kila siku, Kadoda akiwa na ndoo ya maji, alitembea kwenye amsitu peke yake
huku akiwaza, "Isabelah anawezaje kuja pekeyake huku mtoni, ina maana haya
mauza uza hayamtokeagi, au anatembea na jini?" alipo waza hivyo akajikuta
anaumia roho yake, na mwili uka msisimka kama ametembelewa na funza mbavuni
mwake, akayakemea kwanguvu zote mawazo hayo, huku akiomba mungu hisije
kutokea, Yenda alitulia juu ya jiwe baada ya kutoka mafichoni alipo kuwa
amejificha mwanzo, akimsubiri mpenzi wake Isabelah, akiamini kuwa, kwa mbinu
aliyoitumia lazima kieleweke, ukweli alikuwa ametokea kumpenda sana huyu
binaadamu, kiasi cha kuwa hacha warembo wazuri wakwao, moja ya vitu vilivyo
mvutia, ni joto ambalo linapatika kwenye kitumbua cha binadamu huyu, kipindi
anapo ingiza dudu, japo hakuwai kupata, mwanamke wakwao, lakini aliamini
hivyo, (mimi sijuwi ni kwanini alifikilia hivyo, labda, tafakari kisha
nijulishe, kwa comment,) basi akati yeye ana endelea, kumsubiri mpenzi wake,
huku Isabelah akiwa bado anasafisha vyombo, alimwona kaka yake anakuja kwa
mwendo wa haraka, na ndoo mkononi, uso wake alishindwa kuu tafsili, kama ni
wasiwasi, au hasira, hapo mapigo ya moyo ya Isabelah yalimwenda mbio, akajuwa
kuna jambo limetokea huko mtoni, akaa tayali kwa lolote, hee!.....
Kwa kutangaza biashara, tukio. au chochote kile kupitia blog hii wasiliana nasi 0684 224 468, 0767 892 902.
No comments:
Post a Comment