Vijana hao wa Zinedine Zidane watawakabili Bayern Munich kwenye mchezo wa nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya unaotarajiwa kupigwa hapo kesho siku ya Jumatano.
Ronaldo akiwaongoza wachezaji wenzake wameonekana wakiwa wamevalia ‘suite’ nyakati za asubuhi wakielekea ndani ya ndege tayari kutua Ujerumani.
Zinedine Zidane akiwa na kikosi cha wachezaji 24 wameelekea Allianz Arena wakiwa sambamba na rais wao, Florentino Perez.
Wakati Real Madrid ikikwea pipa, wapinzani wao timu ya Bayern Munich asubuhi ya leo imekuwa bize na mazoezi.
Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment