• Seynation Updates

    Tuesday 24 April 2018

    Picha: Real Madrid wakwea pipa kuifuata Bayern Munich

    Kikosi cha Real Madrid kikiwa na nyota wake Cristiano Ronaldo kimekwea pipa hii leo siku Jumanne kuelekea Munich kwaajili ya mchezo wake wa klabu bingwa barani Ulaya.



    Vijana hao wa Zinedine Zidane watawakabili Bayern Munich kwenye mchezo wa nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya unaotarajiwa kupigwa hapo kesho siku ya Jumatano.

    The trio pose on board the plane shortly ahead of their flight to Munich on Tuesday morning 

    Ronaldo akiwaongoza wachezaji wenzake wameonekana wakiwa wamevalia ‘suite’ nyakati za asubuhi wakielekea ndani ya ndege tayari kutua Ujerumani.
    Zinedine Zidane akiwa na kikosi cha wachezaji 24 wameelekea Allianz Arena wakiwa sambamba na rais wao, Florentino Perez.

    Real Madrid have flown to face Bayern Munich, who were busy training on Tuesday morning

    Wakati Real Madrid ikikwea pipa, wapinzani wao timu ya Bayern Munich asubuhi ya leo imekuwa bize na mazoezi.

    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI