• Seynation Updates

    Monday 28 May 2018

    Rais Magufuli Aridhia Kinana Kujiengua



    Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imepokea ombi la Abdulrahman Kinana la kustaafu majukumu na nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM ambapo ombi hilo limeridhiwa, pia Rais Magufuli ambaye ndiye Mwenyekiti wa chama hicho amemtakiwa mapumziko mema.



    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI