Kikao cha 34, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea Bungeni mjini Dodoma muda huu, likiwa limeongozwa Spika wa Bunge,Job Ndugai,Ambapo kipindi cha maswali na majibu kiliendelea; Tazama matukio katika picha
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiongoza kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe.Mwigulu Nchemba akitolea ufafanuzi kuhusu hitaji la magari katika vituo vya polisi leo Jijini Dodoma
Wabunge wa Viti Maalum Mhe.Munira Mustafa Khatib na Mhe.Halima Abdallah Bulembo wakifurahia jambo wakati wa kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Jijini Dodoma
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Jumaa Aweso akieleza mipango mbalimbali ya wizara yake katika kutatua changamoto za miradi ya maji wakati wa kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma
Mbunge wa Lupa Mhe.Victor Mwambalaswa akiuliza swali wakati wa kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Dkt.Hamisi Kigwangalla akiteta jambo na Naibu Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Mhe.William Ole Nasha wakati wa kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dk Augustine Mahiga akizungumza jambo na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Hamisi Kigwangalla na Naibu wake Mhe.Japhet Hasunga wakati wa kikao cha thelathini na nne cha Mkutano wa kumi na moja leo Jijini Dodoma

Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment