• Seynation Updates

    Friday 15 January 2016

    TATHMINI YA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2015/2016

    Moja ya ripoti kubwa siku ya leo inahusu ishu ya matokeo ya mtihani wa kidato cha pili uliofanyika mwaka 2015, matokeo yako tayari na inaonesha asilimia kubwa ya wanafunzi wamefaulu.
    Ripoti hiyo na matokeo inaonesha jumla ya wanafunzi  324,068 wamefaulu mtihani huo kati ya 363,666… kwa hesabu nyingine ni kwamba waliofaulu ni 89% kati ya wanafunzi wote Tanzania.
    Hongera pia ziende kwa mikoa ambayo imeingia 10 bora mwaka huu ikiwemo Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Iringa pia.

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI