• Seynation Updates

    Tuesday 27 December 2016

    YOUNG D ADAIWA KUTAFUTWA NA POLISI ETI KISA TUNDA

    U Heard ya Soudy Brown  December 27, 2016 kupitia XXL ya Clouds FM iko na story inayomhusu msanii wa bongofleva Young D kudaiwa kusakwa na polisi. Inadaiwa kuwa Young D alikuwa na password za account ya Instagram ya Tunda ambaye ni mpenzi wake, sasa inadaiwa polisi wanamsaka kisa ameifuta account ya Tunda.
     Bonyeza play hapa chini kusikiliza full stori

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI