• Seynation Updates

    Monday 30 April 2018

    ALI KIBA AZINDUA KINYWAJI CHAKE KIITWACHO 'MOFAYA' KWENYE HARUSI YAKE


    Msanii na Mjasiliamali Ali Kiba amezindua bidhaa yake ya kipekee hapa nchini. Bidhaa hio ni kinywaji Alichokipatia jina la 'MOFAYA'.







    Ali Kiba & Amina


    Kinywaji Hiki kina leta mzuka yaani kina leta uchangamfu,  hii ni kwa mujibu Ali Kiba. Kina Rangi Nyeusi,  hii inamaanisha ni kwa ajili ya Afrika na inadhihirisha upendo alionao Msanii huyu kwenye bara la Afrika hususani Tanzania.

    Walioshiriki pia katika kufanya bidhaa hii inafika sokoni na kuwepo ni msanii mwenzake Ommy Dimpoz pamoja na Meneja wa Ali Kiba.


    Stori zaidi zinakuja usichoke kutufuatilia.... Hapa hapa

    Google search🔍>>seynation ili kusoma habari kila siku

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI