• Seynation Updates

    Tuesday 24 April 2018

    WANAOHOFIWA KUMRITHI ARSENE WENGER

    Arsene Wenger

    Arsenal imeanza mkakati wa kumtafuta mrithi wa mkufunzi wake anayeondoka Arsene Wenger baada ya zaidi ya miaka 22 akisimamia klabu hiyo.
    The Gunners wanamtafuta mkufunzi ambaye ana sifa na maadili kama ya Wenger na anapendelea mchezo wa kusisimua mbali na kwamba anakupatia fursa ya kuonyesha ujuzi wako , kulingana na afisa mkuu mtendaji Ivan Gazidis.
    Lakini ni mkufunzi gani barani Ulaya mwenye vigezo hivyo?
    Waandishi James Horncastle, Raphael Honigstein na Julien Laurens wa BBC Radio 5 live wanatoa maoni yao kuhusu makocha wanaopigiwa upatu kuchukua wadfha huo.
    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA

    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI