Ufikapo kwenye ofisi za Clouds Unatakiwa kujiandaa, lakini haimaanishi kuwa wewe ni mtu wa kawaida yani sio kiongozi au celeb ndo uogope kuingia kwenye ofisi hizo, kwani Clouds Media Group ni Media ya watu.
Yale yanayosikika mtaani kuwa Clouds wanapokea wageni vibaya SIO ya kweli kabsa kwani Kuanzia kwa Mlinzi wao hadi kwa Ruge wote ni wakarimu na wanapenda wageni. Ungania Na @thisistei kwenye video hapo chini kujionea namna Wanavyopokea wageni.
Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA
Wednesday 11 April 2018
MASTAA
No comments:
Post a Comment