• Seynation Updates

    Tuesday 29 May 2018

    FAINALI YA SPORT PESA SUPER CUP 2018 ..SIMBA NA YANGA KUKUTANA



    Simba na Yanga zinaweza kujikuta zinakutana mwaka huu kwa mara ya tatu mfulilizo lakini safari hii ikiwa ni katika michuano ya  SportPesa Super Cup.

    Michuano hiyo inafanyika jijini Nairobi, Kenya na itakutanisha timu nane kutoka Tanzania na nne za wenyeji Kenya.

    Michuano ya  SportPesa Super Cup inaanza Juni 3 hadi Juni 10 na Simba wataanza Sharks ya Kenya wakati Yanga baadaye watakuwa uwanjani dhidi ya Homeboyz.

    Kama kila timu itashindana, uwezekano wa kukutana ni asilimia kubwa na kila mmoja atalazimija kujiweka vizuri mapema kabisa.

    Credits: Soka Kiganjani

    Usikose habari zaidi Tufuatilie Instagram @seynation na INSTALL APP YETU BOFYA HAPA


    No comments:

    Post a Comment

    VIDEO MPYA

    UMBEA MTUPUU

    MAPENZI